Inasikitisha sana, kuna mdada tumekuwa normal friends bila ya kuwa na makubaliano ya kuoana, hatimaye mwezi wa 8 tukafanya mapenzi na ikapelekea kupata mimba.
Cha ajabu anadai kuwa lazima nimuoe la sivyo atanishtaki kwa wazazi wangu na ikibidi kwenye vyombo vya sheria.
Nimekataa katu katu isipokuwa nitamtunza mpaka mtoto atakapofikisha mwaka mmoja, na ntaendelea kumtunza mwanangu katika maisha yake.
Hivi wadada mkoje?
Cha ajabu anadai kuwa lazima nimuoe la sivyo atanishtaki kwa wazazi wangu na ikibidi kwenye vyombo vya sheria.

Hivi wadada mkoje?


Note: Only a member of this blog may post a comment.