Mchana wa February 17 waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa alikutana na wadau na viongozi wa vyama vya michezo mbalimbali katika ukumbi wa mikutano uliyopo ndani ya uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Mh waziri mkuu aliyehudhuria shughuli hii, alianza kwa kukagua uwanja wa Taifa wa Basket Ball indoor na uwanja wa Taifa wa soka.
Hii ni video inayomuonesha waziri mkuu Kassim Majaliwa akizungungunzia na viongozi

Note: Only a member of this blog may post a comment.