Ikiwa imepita wiki moja tangu Chui aingie ndani ya majengo ya Shule ya Bweni kwenye mji wa Bangalore hii ni nyingine kali kutokea kwenye mji huu mtu wangu wa nguvu Tembo kaingia mtaani na kuanza kuharibu mali za watu, Nyumba zidi ya 100, Pikipiki na Magari yameharibiwa na mnyama huyo aliyekuwa akipita mtaani. Hata hivyo mnyama huyo hakuweza kuzuru mtu yeyote mpaka baadae alipokamatwa na kupandishwa kwenye gari ili kupelekwa msituni
Tazama video ya Tembo akiwa mtaaani
Tazama video ya Tembo akiwa mtaaani
Note: Only a member of this blog may post a comment.