Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Wednesday, February 17, 2016
Anonymous
SHILOLE Afunguka: 'Kuiba Waume za Watu Sijazoea Je Kwa Huyu Kuna Mtu Kaibiwa? '
Baada ya kile kinachoonekana Shilole amepata pumziko jipya baada ya kutemana na Nuhu Mzwanda, leo ameweka picha akiwa na jamaa huyo na kuuliza swali kwa wadau kama kuna mtu kaibiwa.... Ameandika hivi;
Shilolekiuno Kuiba Waume za watu sijazoea! Je kuna mtu kaibiwa???
Note: Only a member of this blog may post a comment.