Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, February 29, 2016
Anonymous
Sakata la Umeya Dar: Mbunge wa Kawe, HALIMA MDEE Amejisalimisha Polisi Kuhojiwa Kufuatia Vurugu Zilizotokea!
Mbunge wa Kawe Mh.Halima Mdee amejisalimisha mwenyewe Polisi kutokana na sakata la umeya wa jiji la Dar es Salaam,ambapo muda mfupi baadae jeshi la polisi lilizingira nyumba yake kwa lengo la kumkamata.
Note: Only a member of this blog may post a comment.