Kama ulikua hujui ni kwamba kwenye mila za kabila la Wameru lenye makazi yake Arusha Tanzania zinakitu kinaitwa kuvunja chungu…. sasa siku chache zilizopita lilisambaa tangazo la kuvunja chungu baada ya jamaa mmoja kuibiwa redio yake ya gari na shilingi milioni moja, stori kamili na jinsi chungu kinavyovunjwa ipo kwenye hii video hapa chini
Saturday, February 20, 2016
Ogopa Sana Ukisikia Mtu Anavunja Chungu Arusha… Ijue Hii ya Mila za Kimeru
Kama ulikua hujui ni kwamba kwenye mila za kabila la Wameru lenye makazi yake Arusha Tanzania zinakitu kinaitwa kuvunja chungu…. sasa siku chache zilizopita lilisambaa tangazo la kuvunja chungu baada ya jamaa mmoja kuibiwa redio yake ya gari na shilingi milioni moja, stori kamili na jinsi chungu kinavyovunjwa ipo kwenye hii video hapa chini

Note: Only a member of this blog may post a comment.