Monday, February 22, 2016

Anonymous

Kweli Siasa si Uadui: Hawa Juzi Nusura Wazipige Laivu Laivu... Leo Mchana Hali Ilikuwa Hivi Wakimsubiri Waziri Mkuu Airport [+PICHAZ]


Mbunge wa Iringa mjini Peter Msigwa akiwa na mkuu wa wilaya Kasesela wakimsubiri waziri mkuu Airport.. Unakumbuka juzi karibu wazichape laivu bila gloves? Hii ndio siasa bwana!
Toa maoni yako hapo chini tafadhali

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.