Angalia mwisho kabisa ya ukuta utaona flat screen TV hawa ndiyo waliokuwa wanalilia kuona Bunge live TBC wakati wa kazi huku wagonjwa wakiwa wamelala chini na hawa wafanyakazi watakuwa wanachadema Tu
Waziri wa Afya Bi.Umi Mwalimu akiratibu zoezi zima!
Wagonjwa wakiwa tayari juu ya vitanda vipya na wodi mpya, namna hii hata Mungu ni lazima atubariki kwa kujali watu wetu wenye udhaifu!
Hongera Raisi Magufuli hongera Waziri Mwalimu!
HAPA KAZI TU!

Note: Only a member of this blog may post a comment.