Dar sio salama, matukio ya ujambazi wa kutumia silaha yatishia maisha ya wengi… Jecha wa Tume ya Uchaguzi ZEC atoka mafichoni, aibukia sherehe za Mapinduzi, bango la ubaguzi laleta kizaazaa Zanzibar, Mbunge Tundu Lissu asema ajenda ya kupambana na ufisadi ni ya kudumu CHADEMA.
Rais Magufuli aombwa
kuingilia kati kumaliza mgogoro wa Zanzibar baada ya mazungumzo ya
viongozi wa visiwani humo kuonekana kutozaa matunda, Dk. Shein
amesema uchaguzi Zanzibar utarudiwa, inasubiriwa tarehe… Wasomi wakosoa
Mawaziri kutimua watumishi mbalimbali, mtoto wa miaka 13 afungishwa
ndoa ya kimila Shinyanga.
Waziri wa Biashara Charles Mwijage amesema watengenezaji wa Chibuku waboreshe kinywaji hicho ili wasio na uwezo watumie kinywaji hicho.
Rais Magufuli kiboko,
atoka nje ya Dar mara mbili na kupanda ndege mara moja tu ndani ya siku
70… Hii ni sehemu ya uchambuzi wa Magazeti ya leo, unaweza kusoma
magazeti kwenye link hii mtu wangu >>> MAGAZETI
Note: Only a member of this blog may post a comment.