Monday, December 7, 2015

Anonymous

Breaking News: Rais MAGUFULI Avunja Bodi Yote ya Bandari na Kutengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu

#‎HABARIZAHIVIPUNDE‬: Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Dkt.John Pombe Magufuli katika kasi yake ya kutumbua majipu hatimaye, amevunja bodi yote ya Bandari na kutengua uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa bandari Bw.Awadhi Massawe (Pichani chini) na ameagiza wawekwe chini ya ulinzi wote na kumfukuza kazi katibu mkuu uchukuzi Bw.Shabani Mwinjaka.
 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.