Wednesday, November 4, 2015

Anonymous

LHRC: Polisi Wanaendelea Kushikilia Vifaa vyetu vya Kazi!


Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen-Kijo Bisimba, amesema vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na kituo hicho kukusanya taarifa za uchaguzi vilivyochukuliwa na polisi, havijarudishwa.

Alisema hayo alipokuwa akizungumza na mwandishi jana na kufafanua kuwa kwa mujibu wa taarifa walizopewa na polisi, bado uchunguzi dhidi ya vifaa hivyo unaendelea na vitarudishwa baada ya shughuli hiyo kukamilika.

Aidha, alisema anasikitishwa na kitendo hicho kilichofanywa na polisi kwani walikuwa wakifanya kazi hiyo kisheria na kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwa maslahi ya taifa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.