Wednesday, November 18, 2015

Anonymous

Kwa Staili Hii, AJALI Hazikomi Tanzania! [+PICHAZ]

IMG-20151118-WA0001
Lori lenye kontena ambalo halijafungwa vizuri likiwa barabarani.
IMG-20151118-WA0003
IMG-20151118-WA0006
Dereva akiendelea na safari bila kujali hatari yoyote.
IMG-20151118-WA0009
Safari ikiendelea.
Katika hali isiyo ya kawaida, Lori lenye namba za usajili T 498 AHS lililokuwa limebeba kontena katika barabara ya Kilwa, kuelekea barabara ya Bandari/Shimo la Udongo ambalo lilikuwa halijafungwa vizuri na kuonekana kuyumba bila wahusika kuchukua hatua yoyote hivyo linaweza kusababisha hatari kwa watumiaji wengine wa barabara ikiwemo kupelekea ajali.
Mara kadhaa zimekuwa zikiripotiwa ajali zinazotokana na malori yaliyobeba makontena kuanguka na mengine kudondokea watu na kusababisha uhalibifu wa mali na wakati mwingine vifo.
Je, kwa hali hii kweli ajali za namna hii zitaisha nchini?
(Picha na Global Whatsapp 0753 715 779, kama una tukio lolote usisite kututumia kupitia namba hiyo)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.