Monday, November 30, 2015

Anonymous

Kwa Kasi Hii ya Rais MAGUFULI, Mastaa Wamekwisha!

Komediani maarufu Bongo,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.
Na Imelda Mtema
NENO! Komediani maarufu Bongo,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa kwa kasi na kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya ‘Hapa Kazi Tu’, mastaa ambao hawatajishughulisha kufanya kazi watakuwa wamekwisha maana wataikimbia fani wenyewe.
Steve aliliambia gazeti hili kuwa, katika kipindi hiki kama msanii hatafanya kazi kwenda sawa na kauli ya Magufuli itakuwa ni shida kuendesha maisha kwa kutegemea sanaa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.