Thursday, November 19, 2015

Anonymous

KASSIM MAJALIWA Asimulia Kilichomfanya Amwage Machozi Baada ya Kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu



Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa, amesema hakuwa na taarifa yeyote juu ya uteuzi wake uliofanywa na Rais.

Akizungumza na Azam TV, Mheshimiwa Majaliwa amedai usiri uliotumika ni mkubwa ambao hata yeye atauendeleza katika kuimarisha Serikali.
“Huwezi amini mpaka asubuhi nafanya zoezi na Wabunge wenzangu sikuwa najua lolote, mimi ni kocha wa timu ya mpira ya Bunge.

"Yani mpaka Spika ameanza na ile Ruangwa nikapigwa na butwaa, na nimelia kwa sababu sikuamini kilichotokea, ila ndo hivyo Rais ameniamini akanipa nafasi” alisema Mh. Majaliwa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.