Wednesday, November 4, 2015

Anonymous

HABARI PICHAZ: Hali si Shwari Kivuko cha Kigamboni Jijini Dar...Baadhi ya Watu Watumia Mitumwi ya Wavuvi Kuvuka!


Kivuko cha MV Magogoni leo asubuhi kimepata hitilafu na hivyo kushindwa kufanya kazi ya kuvusha watu kutoka na kwenda Kigamboni
Hali hii imesababisha baadhi ya watu kutumia mitumbwi ya wavuvi kuvuka

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.