Brighton Masalu
DADA wa ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’, Esma amemshangaa kaka yake, (Diamond) kwa kuendeleza chuki
dhidi ya baba yake mzazi, mzee Abdul Jumaa.
“Hata mimi nilishawahi kukosana na baba yangu, lakini nilishasamehe
na kusahau kabisa, hata hapa nyumbani, ni mara nyingi tu huwa
tunatofautiana na mama lakini hata kama yeye kakosea, huwa najishusha si
kama ilivyo kwa Nasibu (Diamond) kuwa na chuki kali kiasi hicho dhidi
ya baba yake,” alisema Esma.
Note: Only a member of this blog may post a comment.