Viongozi wa dini wengi kabla ya uchaguzi wanakuwa mstari wa mbele kuhubiri amani kwa watanzania!
Uchaguzi unapofanyika na haki za kidemokrasia kukiukwa hawathubutu kusema neno lolote lile ili kutetea haki!
Pia wanaharakati pamoja na wazee wanaoheshimika nchini nao pia kimya!
Je, wengi wao ni wanafiki na waoga? Mbona sasa hivi hakuna anayesema neno? Au kila kitu kipo sawa 100%?
Uchaguzi unapofanyika na haki za kidemokrasia kukiukwa hawathubutu kusema neno lolote lile ili kutetea haki!
Pia wanaharakati pamoja na wazee wanaoheshimika nchini nao pia kimya!
Je, wengi wao ni wanafiki na waoga? Mbona sasa hivi hakuna anayesema neno? Au kila kitu kipo sawa 100%?
Note: Only a member of this blog may post a comment.