Azam TV itatenga channel moja dedicated kuripoti kila tukio siku ya
uchaguzi live....tutatumia chopa mbili na drones kukusanya taarifa na
matukio,.satelite uplink zaidi ya 50 na maripota nchi nzima....pia
matokeo kadri kura zitakavyondikwa vituoni...utashuhudia nyumbani
kwako....tutakua live usiku na mchana kwa masaa 72, kuanzia oktoba
25....
Tiddo Muhando,
CEO AZAM TV
Tiddo Muhando,
CEO AZAM TV
Note: Only a member of this blog may post a comment.