Saturday, October 31, 2015

Anonymous

MAAJABU: Kutana na Mchungaji Huyu Anayebebwa Juujuu Kwenye Kiti Wakati Wote wa Ibada...[+VIDEO]

Hiki ni kipande cha video ambacho nimekipata kwenye channel ya KTN Television ya Kenya, hakuna maelezo ambayo yametolewa kuhusu Kanisa lilipo wala tukio lilitokea lini !!..

Mchungaji kabebwa juujuu kwenye kiti na waumini huku anaendeleza ibada Kanisani… sijajua huu ulikuwa uamuzi wake kufanya ibada kwa aina hiyo au alikuwa na tatizo jingine…Video hii hapa..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.