Friday, October 16, 2015

Anonymous

Kauli ya Rais KIKWETE Yatiliwa Shaka na LHRC

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuonya kutumia nguvu dhidi ya watu watakaokaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura, wakosoaji wanasema kiongozi huyo anayemaliza muda wake anavuka mipaka.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu (LHRC), Helen Kidjo Bisimba, anasema madai ya wananchi kukaa vituoni kulinda kura zao yanatokana na kupoteza kwao imani na uadilifu wa taasisi zinazotakiwa kusimamia haki na sheria za uchaguzi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.