Monday, October 12, 2015

Anonymous

Hii Ndio Official Video ya Mdundo Mpya wa VANESSA MDEE; Never Ever! – (Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee maarufu pia kama Vee Money anaziandika headlines jumatatu hii kwenye kurasa za burudani!
neverEver
Baada ya single yake mpya ‘Never Ever’ kutambulishwa kwenye Trace Nigeria, Vanessa, Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz wakaendelea kuipepersuha vizuri bendera ya Tanzania kwenye tuzo za AFRIMMA Awards 2015 zilizofanyika weekend iliyopita jijini Dallas, Texas… ambapo Vee Money alibeba ushindi wa Tuzo moja ya Best Female East Africa!
neverEver4
Good news mtu wangu, kama wewe ni shabiki wa Vanessa Mdee na pia ni shabiki wa muziki mzuri basi hii news ikuguse popote pale ulipo… single mpya ya Vanessa Mdee ipo hewani tayari na imeshafanyiwa video, kama hukubahatika kabisa kukutana nayo siku iliyokuwa inazinduliwa kwenye Trace Nigeria basi karibu uitazame video hiyo hapa chini kwa mara ya kwanza!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.