Mh Godbless Jonathan Lema
Najua wengi wetu tunatamani kusikia viongozi wetu wanasema nini kuhusu hatma ya ubakaji demokrasia kwa kiwango kilichopitiliza ambao tumeushuhudia tena katika taifa letu. Ngumu kujitofautisha na wengine wa jinsi hiyo.
Niwatie moyo, tuwe na subira, tusiharibu vitambulisho vyetu..bado vinahitajika sana.
Viongozi wetu wakimaliza majadiliano, watatutaarifu nini kinafuata.
Hongereni sana kwasababu kuna tofauti ya kushinda na kutotangazwa mshindi na kushindwa na kutangazwa mshindi.
HAKI HAIOMBWI, HUDAIWA!
Asanteni.
Najua wengi wetu tunatamani kusikia viongozi wetu wanasema nini kuhusu hatma ya ubakaji demokrasia kwa kiwango kilichopitiliza ambao tumeushuhudia tena katika taifa letu. Ngumu kujitofautisha na wengine wa jinsi hiyo.
Niwatie moyo, tuwe na subira, tusiharibu vitambulisho vyetu..bado vinahitajika sana.
Hongereni sana kwasababu kuna tofauti ya kushinda na kutotangazwa mshindi na kushindwa na kutangazwa mshindi.
HAKI HAIOMBWI, HUDAIWA!
Asanteni.
Note: Only a member of this blog may post a comment.