Thursday, October 15, 2015

Anonymous

AJALI: Toyota Probox Lawaka Moto Uwanja wa Ndege Jijini Dar [PICHAZ]

MOTO (1)
Gari aina ya Toyota Probox lenye namba za usajili T336 CKH likiendelea kuwaka moto eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar.
MOTO (2)
MOTO (5) MOTO (6)
MOTO (9)
Wananchi wakiendelea kuzima moto huo.
MOTO (7)
Moshi ukiwa umetanda.
MOTO (10) MOTO (11)
Muonekano wa gari hiyo wakati ikiendelea kuwaka moto.
MOTO (12) MOTO (13)
Kitengo cha zima moto kikiendelea na kazi yake.
(PICHA: MUSA MATEJA/GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.