Friday, October 16, 2015

Anonymous

45 PICHAZ: Shuhudia Alichokifanya LOWASSA Huko Mbogwe, Magu na Sengerema Kwa Waziri NGELEJA







#‎KUTOKAMAGU‬: Mhe. Freeman Mbowe akitoa elimu ya upigaji kura katika viwanja vya Sabasaba,Jimbo la Magu mkoani Simiyu,jana Alhamisi 15/10/2015 ‪#‎Mabadiliko2015‬





#‎KUTOKAMBOGWE‬: Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akisalimiana na watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), katika viwanja vya shule ya msingi Masumbwe jana 15/10/2015 ‪#‎Mabadiliko2015‬





















#‎KUTOKAMAGU‬: Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Magu Mkoa wa Simiyu katika viwanja vya 77,jana Alhamisi 15/10/2015 ‪#‎Mabadiliko2015‬
#‎KUTOKAMAGU‬: Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (katikati) Mhe. Kingunge Ngombare Mwiru na Mhe. Freemam Mbowe wakiwasili katika viwanja vya 77 Jimbo la Magu,jana Alhamisi 15/10/2015 ‪#‎Mabadiliko2015‬

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.