Wednesday, September 2, 2015

Anonymous

TUNDU LISSU: Dr. SLAA ni muongo watanzania mpuuzeni, maneno yote tatizo ni urais!

Akihojiwa na redio station Mh. Lissu anasema ameshangaa sana maneno aliyoyasema jana kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.

Anasema Dr. Slaa alikwisha kuteuliwa kuwa mgombea urais mwezi January na mwezi April akathibitishwa na kamati kuu.
Anaendelea kusema ameshangaa Dr. Slaa kusema Gwajima ndio alimleta Lowassa jambo ambalo siyo kweli kabisa, yeye Dr. Slaa mwezi wa tano ndio alianza kumtafuta Lowassa kwa kumtumia Gwajima

Anasema wakati Lowassa anapokelewa tarehe 27 July kwenye kamati kuu Dr. Slaa hakulala nyumbani aliporudi nyumbani mchumba wake alimtupia mabegi nje na DR. alilala kwenye gari.
Anasema Dr. Slaa asiwadanganye watanzania tatizo ni urais na mchumba wake.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.