Brighton Masalu
MAHABA niteketeze! Moshi William ‘Tx Moshi Jr’,
mwimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma anaendelea kuwewesekea penzi la
aliyekuwa mpenzi wake wa zamani ambaye pia ni msanii wa filamu Bongo,
Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’.
“Dah, unajua nakumbuka mbali sana, hakika Shumileta alikuwa zaidi ya
mwanamke, nalikumbuka penzi lake na mara nyingi huwa najutia ni kwa nini
nilichezea bahati ya kumuoa mwanamke huyo, bado naumia sana,” alisema
Tx Moshi Jr.

Note: Only a member of this blog may post a comment.