Mashairi yaliyoandikwa kwa mkono ya Tupac Shakur akiwa gerezani ya ‘Ambitionz As A Ridah’ yaliyoandikwa kwenye karatasi mbili tofauti yatapigwa mnada na kumilikishwa kwa mtu yoyote.
‘Ambitionz Az A Ridah’ ilitumika kama utangulizi wa album ya nne ya Tupac ‘All Eyez on Me’ iliyokuwa album ya mwisho kabla hajauawa kwa risasi mwaka 1996. Album hiyo iliwashirikisha wakali kama Snoop Dogg na Dr Dre.

Note: Only a member of this blog may post a comment.