Mwandishi wetu
Tiririka! Staa wa maigizo Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa baadhi ya watumishi wa Mungu wanapotea kwa sababu ya fedha, madaraka na umaarufu kisha kujiingiza kwenye mambo ya siasa akimtolea mfano Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Tiririka! Staa wa maigizo Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa baadhi ya watumishi wa Mungu wanapotea kwa sababu ya fedha, madaraka na umaarufu kisha kujiingiza kwenye mambo ya siasa akimtolea mfano Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Akizungumzia ishu hiyo, Dude alisema kuwa inashangaza kuona mtumishi wa Mungu akitumia jina la Mungu kutafuta sifa.
“Ukiona mtumishi wa Mungu anatafuta sifa, fedha au umaarufu, hakika
dunia inaelekea ukingoni. Kiukweli sijui huyo Gwajima alikula maharage
ya wapi kama yeye mwenyewe anavyosema,” alisema Dude.

Note: Only a member of this blog may post a comment.