Wednesday, September 9, 2015

Anonymous

AJALI: Moto Mkubwa Wateketeza Vibanda Vya Biashara Mkoani Iringa Usiku wa Kuamkia Leo

moto
MOTO mkubwa umeteketeza vibanda vya biashara vilivyopo eneo la Mambo ya Tanga, Mafinga mkoani Iringa usiku wa kuamkia leo.
Baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo wameeleza kuwa chanzo chake ni mitungi ya gesi inayotumika kujazia upepo ambayo ililipuka na kupelekea moto kuchoma vibanda hivyo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.