Thursday, September 24, 2015

Anonymous

12 PICHAZ: Huu Ndio Uzuri wa Zanzibar Kwenye Ubora Wake Kabisa!

Kama hujawahi kufika Visiwani Zanzibar, alafu ikatokea umepata  safari kwenda Zanzibar anza kufurahia kabisa mtu wangu… kwenye safari sio lazima uwe na pesa nyingi ili uenjoy !!
Mazingira ya maeneo tofauti ya Zanzibar ni kivutio tosha kwamba hata kama umesafiri na kiwango kidogo cha pesa lakini bado utafurahi tu kuitembelea Zenji..
Pichaz zinaanzia Bandarini kama hivi..
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.58 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.51 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.44 PM
Huu ndio muonekano wa Bandari ya Zanzibar na kama umesafiri na boti huu ndio mlango wa kuingia kwenye kisiwa cha Zanzibar
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.33 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.25 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.57.42 PM
Picha ya juu juu ikionesha Mitaa mingine ya Zanzibar
Screen Shot 2015-09-24 at 12.57.57 PM
Picha nyingine ya juu, hapo bado ni Bandarini yani…
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.08 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.58.15 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.57.29 PM
Screen Shot 2015-09-24 at 12.57.19 PM
Hiyo ndio Zanzibar na Barabara zake zinavyoonekana.
-via millardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.