Jamaa wameamua kutegesha video camera mahali alafu wanachukua gari kali la kifahari na kujaribu kuwapa lift Warembo, kingine ni kwamba dereva au jamaa mwenye gari haongei neno lolote anawaita kwa ishara tu wasichana na kuwapa lift aone kama watakataa.
Pamoja na kwamba Warembo wanaonekana kukataa mwanzoni, mwishoni wanakubali kiulaini na kuingia kwenye hili gari bila kujua wanakopelekwa.
Nimekuwekea video hiyo hao chini mdau!
Pamoja na kwamba Warembo wanaonekana kukataa mwanzoni, mwishoni wanakubali kiulaini na kuingia kwenye hili gari bila kujua wanakopelekwa.
Nimekuwekea video hiyo hao chini mdau!

Note: Only a member of this blog may post a comment.