Friday, August 28, 2015

Anonymous

Sentensi za Mgombea Urais 2015 kupitia CCM Dkt Johh Pombe MAGUFULI

Mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt John Pombe Magufuli bado  anaendelea na ziara zake  za Uchaguzi 2015, huko mikoani.
Sasa hapa nina sentensi za mgombea huyo akiwa anazungumza katika ziara hizo.
Mhe. John P. Magufuli akizungumza na wakazi wa Mkwajuni, awahimiza Umoja ili kuleta mabadiliko ya kweli.
Mhe. Magufuli akizungumza na Wakazi wa Wilaya ya Songwe, Kijiji cha Iseche awaahidi atakuwa nao bega kwa bega.
Mhe. Magufuli akiwa Mkwajuni asema anatosha kuwa Rais wa Watanzania, akitoa sababu ya utendaji wake wa kazi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.