Hakuna mtu yeyote ambaye aliyeamini huyu ndiye mchezaji bora wa soka duniani Cristiano Ronaldo akiwa katika muenekano mwingine hadi pale alipovua mavazi aliyokua ameyavaa na kumshangaza kila mmoja alifanikiwa kumuona.
Ronaldo akiwa Hispania anatangaza headphone mpya alikua amevalia
mavazi yaliyomfanya kila atakaye kutana naye asiamini ni yeye huku
akipita mitaani na mpira wake sambamba na mbwa huku akicheza.
Watu walikua wakipita na hata wengine ambao alikua akiwarushia mpira
kuonekana kukasirishwa na alichofanya hadi pale alipoamua kuvua mavazi
aliyovaa na watu kushikwa na mshangao walipoona ni yeye.
Itazame hii video mdau wangu…

Note: Only a member of this blog may post a comment.