Wednesday, August 19, 2015

Anonymous

JEURI YA PESA! Mpaka mwaka 2013/2014 hizi ndio zilikuwa gari za ETO’O -VIDEOS&PICHAZ

Samuel Eto’o Fils ni mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayeichezea klabu ya Antalyaspor  ya Uturuki, Eto’o ambaye amewahi kuingia katika rekodi kadhaa kama ya kuwa mchezaji wa kwanza anayelipwa mshahara mkubwa kwa wiki duniani hii ilikuwa wakati yupo katika klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi wakati alipojiunga nayo mwaka 2011 akitokea katika klabu ya Inter Milan ya Italia.
etoo-bentley
August 18 na kuletea mkusanyiko wa gari za kifahari alizokuwa anamiliki staa huyo wa Cameroon hadi mwaka 2013-2014 hizi ni gari mbalimbali ambazo amekuwa akitumia na kuonekana nazo zikiwa na namba binafsi SE yaani hicho ni kifupisho cha jina lake la Samuel Eto’o.
Hizi ni picha za magari yake mbalimbali
Inter-Milan-Samuel-Etoo-Fils-Bentley-GT63
samuel-etoo-vida-loca-aston-martin-one77-2
1326772732-samuel_etoo
1
maxresdefault
etoee
eto2
d9de0fffd7567c02e6cf350fcd452766
Seto1
Untitled-211
Hii ni video ikimuonyesha Eto’o akiendesha moja kati ya gari zake inaitwa Mansory Siracusa alionekana nayo Paris Ufaransa mwaka 2014

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.