Halafu tunaambiwa maisha bora kwa kila mtanzania,aisee hawa watawala basi wawe hata na chembe ya huruma.
Yaani huu ni umaskini uliopindukia na wao watawala wanayaona haya wanatulia tu.
Maajabu ni kwamba mwezi Oktoba wakataufuta/malofa/wapumbavu watanzania hawa! baadhi Yao watawarudisha mamlakani walewale.
Si ajabu nchi nyingi zinatudharau Tanzania kama hali Ndio hiyo!!
PICHA ZOTE ZIMENASWA KTK VIJIJI VYA MKOA WA KIGOMA TANZANIA KWA HISANI YA PR. PM WA VHM
Yaani huu ni umaskini uliopindukia na wao watawala wanayaona haya wanatulia tu.
Maajabu ni kwamba mwezi Oktoba wakataufuta/malofa/wapumbavu watanzania hawa! baadhi Yao watawarudisha mamlakani walewale.
Si ajabu nchi nyingi zinatudharau Tanzania kama hali Ndio hiyo!!
PICHA ZOTE ZIMENASWA KTK VIJIJI VYA MKOA WA KIGOMA TANZANIA KWA HISANI YA PR. PM WA VHM


Note: Only a member of this blog may post a comment.