Sehemu ambayo iliandaliwa kwa ajili ya Obama kusign kitabu maalumu cha wageni
Akisalimiana na ndugu zake
Obama ameshawasili nchini kenya, Ulinzi ambao upo kenya ni mkubwa sana inasemekana kuwa ana walinzi wapatao 800 ambao wako katika kila pembe ya nchi ya kenya wakiangalia usalama katika nchi hiyo….
Obama akishuka kwenye ndege ya airforce 1
Namba ya gari ambalo lilimbeba Obama akitokea Air port
Obama akisign kwenye kitabu cha wageni
Mlinzi mojawapo wa Obama
Wakenya wakifuatilia ziara ya Obama kwenye runinga

Note: Only a member of this blog may post a comment.