Mtoto Tabia aliyekuwa
mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Bunju A ambaye
aligongwa na gari (mwenye gauni la njano) enzi ya uhai wake.
Gari la Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdillah Mkeyenge lilivyo haribiwa
Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdallah Mkeyenge akizungumza na wanahabari namna ambavyo mkasa huo ulivyotokea.
Maeneo ya jirani ya Kituo hicho cha Polisitaswira ilivyokuwa ikionekana.
Wananchi wakiwa ng'ambo ya barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto
Mwana habari Jamaly Hashimu wa
kituo cha TBC akipata taarifa akiwa ndani ya jengo la kituo cha Polisi
Bunju A kilichochomwa moto na wananchi jana.
Baadhi ya nyaraka zilizoungua.
Baadhi ya baiskeli zilizoungua.
Omary Mbonde (katikati) ambaye
ni mlezi wa mtoto Tabia Mkulukute, akizungumza na wana familia
walipokuwa wakipanga taratibu za mazishi yanayotarajiwa kufanyika leo.
Mama mlezi Zainabu Mkulukute katikati akiwa na waombolezaji wakimfariji
Muonekano wa kituo cha Polisi kilivyochomwa moto.
Polisi wakiimarisha ulinzi.
PICHA NA KHAMISI MUSSA

Note: Only a member of this blog may post a comment.