Taswira baada ya ajali hiyo.
WATU wanne wanasadikiwa kupoteza maisha baada ya Basi la Kampuni ya
Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza
kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser
iliyokuwa imebeba masista ikitokea Bukoba Mjini kuelekea Mutukura.
Ajali hiyo imetokea leo Jumanne katika Kata ya Bugorora, Wilaya ya Bukoba Vijijini mkoani Kagera.

Note: Only a member of this blog may post a comment.