Wednesday, July 29, 2015

Anonymous

AJALI MBAYA Yaua Wanne Kagera!

ajali
Taswira baada ya ajali hiyo.
WATU wanne wanasadikiwa kupoteza maisha baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba masista ikitokea Bukoba Mjini kuelekea Mutukura.
ajali 2Miili baada ya ajali hiyo.
Ajali hiyo imetokea leo Jumanne katika Kata ya Bugorora, Wilaya ya Bukoba Vijijini mkoani Kagera.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.