Leo(Jumapili tar 21) ikiwa ni siku ya Kina baba ‘Father’s Day’, ambapo wakinababa
duniani kote husherekea kila mwaka inapofika tarehe kama hii ya leo.
Mastaa na watu wengi wakawaida wamewatakia furaha na kujivunia baba
zao, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ni moja ya mastaa
waliowapongeza na kumtakia baba yake furaha kwenye siku hii ya leo kwa
kuweka picha akiwa na baba yake kwenye ukurasa wake mtandaoni na
kueleza kuwa toboa kuwa kuna vitu vingi sana huwa ana jaribu kuviiiga
kutoka kwa baba yake kwenye ufanyaji wa kazi zake za kuigiza.
"Vitu vingi najaribu kuiga kutoka kwako.mpaka kwenye kazi
zangu.hasa ninapopata husika ya kuigiza kama baba mwenye maadili.mungu
akupe maisha marefu. Baraka tele.Happy fathers day..."-JB
Happy Father’s Day kwa kinababa wote.
Mzee wa Ubuyu

Note: Only a member of this blog may post a comment.