Thursday, May 14, 2015

Anonymous

MAJONZI TELE: [PICHAZ] HIVI NDIVYO MTOTO WA BABA WA TAIFA JK NYERERE ALIVYOZIKWA NA MAELFU YA WATU!

Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mara na mikoa jirani wamejitokeza katika mazishi ya mtoto wa nne wa baba wa taifa kapteni John Guido Nyerere, ambayo yamefanyika katika makaburi ya familia eneo la Mwitongo kijijini Butiama mita chache kutoka katika kaburi la baba wa taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.