Utapeli ni ishu ambayo iko sana mjini..
wakati mwingine unatapeliwa na mtu ambae hata hukutarajia, jamaa mmoja
ambae anafanya biashara ya kuuza magari ametapeliwa na mtu ambae ni
mlemavu Dar.
Kukutana kwao ilitokana na dalali mmoja
ambae aliwaunganisha ili wauziane gari, baadae wakaenda Benki Kariakoo
ambako alidai kwamba alitumiwa pesa na wafadhili wake walioko nje ya
nchi.
Ikashindikana kutoa pesa kwa sababu
alikuwa hana account ya dola, ikawa kunatakiwa pesa ili taratibu za
kufungua account zikamilike.. huyo jamaa akatoa pesa hizo pamoja na pesa
nyingine nyingi kumhudumia hoteli na vitu vingine wakati wanasubiri
account hiyo ifunguliwe.
Story ni ndefu, timu ya #LeoTena
wamesema hii Hekaheka itaendelea kesho ili tusikie jinsi utapeli
ulivyofanyika.. iliyosikika leo sehemu ya kwanza unaweza kuisikiliza
hapa...
Note: Only a member of this blog may post a comment.