Tuesday, May 19, 2015

Anonymous

8 PICHAZ: ALICHOKIFANYA MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MH. PAUL MAKONDA KATIKA KABURI LA MUIGIZAJI ADAMU KUAMBIANA, ANAFAA KUIGWA!


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda akiwa na mke wa marehemu Adam Kuambiana aliyekuwa Msanii maarufu wa Bongo Muvi kwenye kaburi lake ambalo Mkuu huyo wa Wilaya ameligharamia gharama zote za kulitengeneza upya baada ya kuharibika sana kwenye makaburi ya Kinondoni juzi Jumapili. Shuguli hiyo pia ilihudhuriwa na Wasanii wengi wa fani mbali mbali nchini pichani.






USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.