Sunday, May 31, 2015

Anonymous

30 PICHAZ: BataBatani! Tazama Watu Walivyofanya Yao Instagram Party TZ jana jijini Dar!


179int
Wingi wa watumiaji mbalimbali wa mitandao ya kijamii unafanya baadhi ya vitu kuwezekana kirahisi ikiwemo hizi party ambazo zinawahusu zaidi watumiaji wa huduma husika. 

Naambiwa kuwa kwa sasa Tanzaniana nayo ipo kwenye list ya kuwa na watumiaji wengi wa Instagram kutoka nchi za Afrika Mashariki,Mei 30 watumiaji wa Instagram walikutanishwa na party ya pamoja. 

Mzee Majuto,Ben Pol,Shetta,Stan Bakora,Izzo B,Mirror,Wema Sepetu,Petit Man,B dozen na Adam Mchomvu kutoka XXL ya Clouds Fm walikua ni miongoni mwa mastaa waliokuwepo viwanja vya Posta vilivyopo Sayansi Dar es salam.
51int
12int
4int
23int
25int
79int
80int
93int
110int
88int
132int
147int
165int
159int
152int
174int
182int
191int
201int
217int
222int
210int
250int
268int
229int
228int

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.