Wednesday, April 15, 2015

Anonymous

WATU 9 WAKAMATWA MSIKITINI WAKIWA NA SILAHA YAKIWEPO MABOMU MKOANI MOROGORO!


Habari za hivi punde:
Mkoani morogoro watu 9 wamekamatwa kwenye msikiti mmoja wakiwa na mabomu, silaha na milipuko mikubwa ya hatari. Habari za kichunguzi zinasema walikua wanajiandaa kufanya shambulizi ktk chuo kikuu kimoja kilichopo mkoani morogoro, watu hao 9 bado wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa uchunguzi zaidi. Ktk harakati za kuwakamata askari polisi mmoja kakatwa shingoni na jambia. 

NEW UPDATES!


USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.