Wawili hao waliopo pamoja kwenye msimu wa nne wa Coke Studio Afrika, walikutana mara ya kwanza Nairobi wiki iliyopita kwenye kurekodi kipindi hicho.
Hata hivyo, wameamua kutoishia hapo. Jumatano, Joh na Falz aliyeshinda tuzo ya BET mwaka huu, waliingia kwenye studio za Wanene Ent. kutayarisha ngoma iitwayo ‘Acha Nikupende.’
“KITU!! #TzNigeriaCollabo It’s a wrap #AchaNikupende feat.@falzthebahdguy beat by @kingluffa #wanenestudios #switchRecords
#GODENGINEERING,” ameandika Joh kwenye Instagram.
Falz alikuwa Tanzania kwenye ziara ya vyombo vya habari.
-Via Bongo5
Note: Only a member of this blog may post a comment.