Friday, June 3, 2016

Unknown

VIDEO: Meno ya Gold ya DIAMOND Yaonekana Akimuongelea Harmonize na Korede wa Nigeria

Kupitia Twitter yake Diamond aliandika kuhusu ngoma itayowakutanisha wakali wawili ambao ni Harmonize wa Tanzania na Korede wa Nigeria, sasa AyoTV imempata kwenye Exclusive Interview na kuelezea ambapo pia muonekano wake ulionekana ukiwa na mabadiliko ya meno ya Gold, tazama hii video hapa chini
-via Millardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.