Friday, May 13, 2016

Anonymous

Kuongea Kiingereza ni Kipaji – SHILOLE Afunguka

Msanii wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kwa kudai kuongea Kiingereza siyo kitu cha mchezo kama watu wanavyofikiria.

Akizungumza katika kipindi cha Enewz cha East Africa Television Jumatano hii, Shilole alisema yeye amepigana mpaka ameweza kuongea Kiingereza.

“Kiingereza ni kipaji jamani, mimi naongea Kiingereza wakati ambao najisikia. Lakini asikwambie mtu, kuongea Kiingereza ni kipaji,” alisema Shilole.
Muimbaji huyo ameachia kazi mpya iitwayo ‘Say My Name.’

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.