Tuesday, November 3, 2015

Anonymous

Ratiba na Misimamo ya Makundi Yote ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Inayopigwa Tena Leo na Kesho!


Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea tena Jumanne ya November 3 na Jumatano November 4 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti barani Ulaya. Mechi za November 3 na 4 zimebadilika kidogo muda wa kuanza kwa mechi hizo kwani mechi nyingi zitaanza saa 22:45 usiku na sio saa 21:45 ila mechi ya FC Astana dhidi ya Atl Madrid itaanza Saa 18:00.
1
Mechi za November 3 ambazo zitachezwa Saa 22:45 kasoro mechi ya FC Astana Vs Atl Madrid ambayo itachezwa Saa 18:00

Mechi za November 4 zote zitachezwa saa 22:45
Msimamo wa makundi kabla ya mechi za November 3 na 4
m1
m2
m3

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.