Tuesday, October 27, 2015

Anonymous

Matokeo Rasmi ya Ubunge Jimbo la Vunjo Kwa JAMES MBATIA wa NCCR/UKAWA

James Mbatia
Jimbo la Vunjo, Kilimanjaro; Mgombea wa NCCR Ndg. James Mbatia, ameshinda kiti cha Ubunge kwa kuzoa kura 60,187 akifuatiwa kwa mbali na mgombea wa CCM Innocent Melleck Shirima aliyeambulia kura 16,097. #kandiliyetuUpdates

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.