Friday, August 28, 2015

Anonymous

ODAMA: Natamani Mtoto Mwingine!

da
Staa wa filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Imelda Mtema
Staa wa filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto mwingine wa pili kwa kuwa ametambua utamu wa kuitwa mama.


Akizungumza na Ijumaa, Odama alisema kuwa mambo ya wasichana kupenda usichana zaidi na kutoa mimba kwa sasa yamepitwa na wakati na wanaofanya hivyo hawajui raha ya kuwa mama.
“Hakuna fahari kama ya kuitwa mama na hivi ninavyokwambia natamani kuongeza mtoto wa pili na soon nitakuwa mjamzito,” alisema Odama.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.